Taarifa za Uchaguzi Mkuu Tanzania

Tunapenda kuwakumbusha jinsi ya kuripoti yanayojiri katika vituo vya kupiga kura:

Jinsi ya kuripoti — TZelect

  1. Kwa kutuma barua pepe (email): tzelect (at) gmail (dot) com
  2. Kwa kutumia twitter na hashtags zifuatazo: #TZelect or #uchaguzitz
  3. Kwa kujaza fomu kwenye tovuti

Pia, waweza kutuma ujumbe mfupi (SMS) kupitia shirika huru la UchaguziTZ kwa namba : 15540

How to submit reports to TZelect:

  1. By sending an email to tzelect (at) gmail (dot) com
  2. By sending a tweet with the hashtag/s #TZelect or #uchaguzitz
  3. By filling this form

For immediate on-the-ground updates, send a short message (SMS) to the number : 15540 (courtesy  Uchaguzi TZ)

Additional links and election updates:

Zanzibar resident casting her vote this morning. (Image courtesy of Bashir Nkoromo)
  • Sikiliza matangazo ya moja kwa moja kuhusu yanayojiri hapa BBC Swahili
  • Tembelea tovuti ya WAVUTI kupata picha zaidi za uchaguzi
  • Fuatilia mjadala na matukio ya uchaguzi ndani ya Jamii Forums

BBC Swahili news stream + live chat (via ustream):

Previous ArticleNext Article
Joji was born and grew up in Dar es Salaam, Tanzania. He graduated with a B.Sc in Biochemistry in Germany, and is now pursuing a Masters degree in Microbiology & Immunology at the Swiss Federal Institute of Technology (ETH) in Zurich, Switzerland . Joji is particularly interested in matters related to global health, and basic science research that tackles public health challenges. He is engaged in mentoring Tanzanian students in higher education issues, most notably at the Kibaha High School. In this capacity, Joji blogs with Vijana FM about scientific research and development, and how youth can gain greater access to higher learning.

This post has 3 Comments

3
  1. After going over a number of the articles on your blog,
    I honestly appreciate your technique of writing a blog.
    I bookmarked it to my bookmark webpage list and will be checking back soon.
    Please visit my web site as well and let me know your
    opinion.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend