Teke linalokujia

Kwani teke hili la ongezeko la upweke katika jamii kutokana na ongezeko la matumizi ya teknolojia, sidhani kama ni teke ambalo lilionwa na wengi likitujia.

Lakini, je, hofu hii ya upweke (au isolation) ni hofu ambayo lazima itiliwe maanani au ni hofu tu isiyo na msingi? Kwani pamoja na mawasiliano ya ujumbe mfupi (SMS) kuchangia kwa kiasi fulani katika mitafaruku mbalimbali ndani ya jamii, facebook, twitter na mitandao mingine inachangia kwa kiasi gani katika kututenganisha wana-jamii, na hata katika kutuunganisha?

Previous ArticleNext Article
Bahati was born and raised in Tanzania, and then moved to California to pursue his college education. He graduated in 2008 with a Bachelor’s Degree in Political Science and a minor in Sociology. Bahati expects to be doing his Masters in African Studies in the near future. He is currently working on starting a t-shirt business and a possible publication of some of his writings. One thing that Bahati cannot live without is music, specifically Hip Hop & Bongoflava which he argues are both the voice of the youth today, and is excited to look into how Bongoflava can be a source of further entrepreneurship among the youth in Tanzania. Bahati believes that Bongoflava can help to reduce poverty in Tanzania, as can a more collective effort among key players.

This post has 1 Comment

1

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend