Taarifa kutoka Mara

M.B: Nguo ambazo Muhere Biraro alikuwa anatumia kwenye mgodi wa Mara.

Picha za waathirika zilishtua wengi. Baadhi ya wanavijiji walioathirika pembezoni mwa Mto Thighithe wakapelekwa Muhimbili — hasa wale wenye dalili zinazoonekana (mapunye makubwa, vidonda, kuhara n.k.); wakaambiwa labda wana ugonjwa wa kurithi kwa sababu wanatoka kwenye ukoo mmoja. Wakarudishwa Mara.

Ifuatayo ni makala fupi ya mambo yanayojiri kwenye vijiji karibu na migodi ya dhahabu Mara:

Wakati vyombo vya habari za kimataifa vikiendelea kufichua yanayoendelea huko, sisi Watanzania tunafanya nini?

Makala nyingine:

Previous ArticleNext Article
Steven was born and raised in Dar es Salaam, and moved to Germany for his studies. He graduated with a BSc. in Physics (Jacobs University Bremen), and then a MSc. in Engineering Physics (Technische Universität München). Steven is currently pursuing a PhD in Physics (growth of coatings/multilayers for next generation lithography reflective optics) in the Netherlands. He’s thinking about starting his own business in a few years; something high-tech related. At Vijana FM, Steven discusses issues critical to youths in Tanzania, music, sport and a host of other angles. He’s also helping Vijana FM with a Swahili translation project.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend