Buriani Mpiganaji na Shujaa Regia Mtema

“Nilimfahamu marehemu Regia kama kijana mwanaharakati na mpambanaji asiyechoka kupigania kile anachokiamini. Kipindi hiki harakati nyingi alizokuwa akizifanya, alizifanya kupitia harakati za kudai haki za msingi za vijana wa Tanzania, hususan haki za makundi maalumu wakiwamo watu wenye ulemavu, watoto, wanawake na vijana kwa ujumla.”

Saidia Zanzibar Initiative

Saidia Zanzibar (www.saidiazanzibar.org) is an emergency fundraising website, to provide caring members of the public, in Zanzibar and the world at large, with a framework to commit some of their time and money for the assistance of those tragically affected by the disaster.

Vijana Nguvu ya Mabadiliko

Katika makala haya tatawamulika vijana kupitia mtazamo wa falsafa ya “vijana nguvu ya mabadiliko” na kuchambua kwa kina juu ya msukumo binafsi wa kijana wa Kitanzania juu ya uhitaji wake wa mabadiliko na nafasi yake katika kuleta na kuendeleza hayo mabadiliko.