Serving up the fix

Sometimes I wonder if Tanzania is losing her soul. Perhaps – as time passes – it is me growing more conscious, or media becoming more pervasive to drama. But it seems like this country is chasing grandeur that is alien to her history and at odds with what she needs today.

Hatimaye

Lile sakata la barabara ya Serengeti limeripotiwa kikamilifu kwenye gazeti la wiki hii la Raia Mwema! Kama hiyo haitoshi, ripoti – ambayo kwa mtazamo wangu ni muhimu mno – imetumwa kwa Rais Jakaya Kikwete na Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga.