Umri

Kijana, tafakari ujumbe huu muhimu kutoka kwa gwiji wa lugha ya kiswahili hayati Shaaban Robert. Sura hii imetolewa kwenye kitabu “Maisha yangu na baada ya miaka hamsini”, kilichochapishwa mwaka 1966 na Thomas Nelson and Sons, Ltd. Tafadhali kitafute!

African Hip Hop Thesis

Mara nyingi mambo mengi tunayojadili kuhusu Hip Hop tunakuwa kama tuna speculate tu. Kwahiyo, tunayoongelea kwenye kijiwe hiki ni tofauti na yatakayoongelewa kwenye kijiwe kingine kutokana na sababu kadhaa.