Serving up the fix

Sometimes I wonder if Tanzania is losing her soul. Perhaps – as time passes – it is me growing more conscious, or media becoming more pervasive to drama. But it seems like this country is chasing grandeur that is alien to her history and at odds with what she needs today.

Vijana Nguvu ya Mabadiliko

Katika makala haya tatawamulika vijana kupitia mtazamo wa falsafa ya “vijana nguvu ya mabadiliko” na kuchambua kwa kina juu ya msukumo binafsi wa kijana wa Kitanzania juu ya uhitaji wake wa mabadiliko na nafasi yake katika kuleta na kuendeleza hayo mabadiliko.