Watoto wa Mererani

Kama wengi tunavyojua, madini ya tanzanite yanapatikana nyumbani kwetu tu. Filamu ifuatayo (ya mwaka 2006) inaonesha hali halisi ya mambo yalivyokuwa yakiendelea kabla ya wachimbaji wadogo (wananchi) hawajafukuzwa au kuondolewa kwenye migodi huko Mererani.

Watoto wadogo – waliokuwa wakiitwa “manyoka” – ndio walikuwa wakitumiwa kwenye shughuli chungu ‘zima; kuanzia kuingia mashimoni hadi kuchekecha vumbi na kutafuta madini kutoka kwenye vifusi.

Jionee mwenyewe jinsi wadogo zetu walivyokuwa wakiteseka… ili mradi tu mkono uende kinywani.

 
Kama filamu ikileta kwikwi, bofya kwenye ‘kitufe’ cha mviringo cha kijani kilichopo hapo juu kwenye player (If the video does not play, click on the circular green button on the player).

Previous ArticleNext Article
Steven was born and raised in Dar es Salaam, and moved to Germany for his studies. He graduated with a BSc. in Physics (Jacobs University Bremen), and then a MSc. in Engineering Physics (Technische Universität München). Steven is currently pursuing a PhD in Physics (growth of coatings/multilayers for next generation lithography reflective optics) in the Netherlands. He’s thinking about starting his own business in a few years; something high-tech related. At Vijana FM, Steven discusses issues critical to youths in Tanzania, music, sport and a host of other angles. He’s also helping Vijana FM with a Swahili translation project.

This post has 1 Comment

1
  1. Serikali yetu inatia aibu sana,sasa watu kama hawa utawaambia nini kuhusu Maisha Bora kwa Kila Mtanzania.?!!

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend