The funded trip will focus on examining child survival from February 17-27, 2013 and priority is being given to applicants from select countries, including Tanzania.
Most voters expressed that, in some ways, doctors can work with traditional healers. What ways might these be?
Ugunduzi kubadili chembechembe hai ya aina yoyote ili iwe na uwezo wa kujibadili kuwa aina nyingine, umewapatia Sir John Gordon na Prof. Shinya Yamanaka tuzo ya Nobel ya Fiziolojia na Tiba ya mwaka 2012. Tunamhoji Daniel Maeda ili atueleze kwa kina kuhusu teknlojia hii.
Wanasayansi wanaofanya utafiti kufahamu mbinu ambazo mdudu wa malaria (Plasmodium) anatumia kuepuka mfumo wa kinga wa binadamu hivi karibuni wamezindua mfululizo wa katuni wenye lengo la kusambaza ujumbe kwa umma kuhusu ugonjwa huo pamoja na jitihada zao za kisayansi. Katuni hiyo ‘MALARIA! The Battle Against a Microscopic Killer’ imeandaliwa na jopo la watafiti wa EVIMalaR na [...]
Langa na Kala Pina waongelea matumizi ya madawa ya kulevya na athari zake katika kipindi cha Njia Panda cha Clouds FM.
A powerful documentary about fistula surgery in Ethiopia.
Msikilize Langa kwa makini…
A student’s experience with trachoma treatment in Tanzania.
Another telling documentary from Maweni Farm Productions. This was was released in 2006, and is based on the life of Elisa Jospeh in Dar-es-Salaam’s infamous Uwanja wa Fisi, or Hyena Square.
Another documentary from Maweni Farm Productions. This time, we bring you their coverage of fertility and maternal care in Lushoto, Serengeti and Moshi.






Recent comments