Mlijaribu kuimba kwa ajili ya WOZA 2010?

Na Japhet Joseph

Mashindano makubwa kabisa duniani ya mpira wa miguu – au kama wengine wanavyouita macharange au kabumbu – ndio yananukia; kwa mara ya kwanza kwenye ardhi ya Afrika! Wasanii mbalimabli wamejitokeza kuwashawishi watu wa FIFA kuwateua ili wapate nafasi ya kutumbuiza wakati huo.

K’naan (ft. Bisbal) – Waving Flag:

Lakini baada ya kufaidi mambo kama haya na ukatulia, huna budi kujiuliza: Hivi, mbona sisikii hata wimbo mmoja wa Kiswahili? Wasanii wetu walijaribu kuimba nyimbo kwa ajili ya Kombe la Dunia? Walijaribu kutafuta nafasi ya kutumbuiza? Au DJs wa FIFA/Bondeni wanatubania tu (wanataka mshiko kwanza)?

Kama hamkujaribu, aisee, mmepoteza bonge la nafasi la kuitangaza nchi, lugha na kazi zenu.

Ni mtazamo tu.

Previous ArticleNext Article
Steven was born and raised in Dar es Salaam, and moved to Germany for his studies. He graduated with a BSc. in Physics (Jacobs University Bremen), and then a MSc. in Engineering Physics (Technische Universität München). Steven is currently pursuing a PhD in Physics (growth of coatings/multilayers for next generation lithography reflective optics) in the Netherlands. He’s thinking about starting his own business in a few years; something high-tech related. At Vijana FM, Steven discusses issues critical to youths in Tanzania, music, sport and a host of other angles. He’s also helping Vijana FM with a Swahili translation project.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Send this to a friend