Malindi

Matatizo wanayoyapata dada zetu Afrika Mashariki ni yaleyale. Lakini tunajifanya kama hatuyaoni… Angalia kisa cha binti mmoja kutoka Malindi anayefanya biashara ya ‘kujiuza’.

Watoto wa Taliban

Kuna propaganda nyingi kuhusu watu wanaojitoa muhanga na kujilipua, hasa kutoka kwenye vyombo vya habari vya nchi za Magharibi. Lakini umeshawahi kujiuliza: Hivi, wanajaribu kutafuta chanzo?