Maswali matano na Ally Ahmad Doo

Ally Ahmad Doo ni mkurugeni wa shirika la MRC Tanzania abao wana mradi wa sober house kwaajili ya kuwapatia matibabu na msaada waathirika wa uraibu wa mihadarati Tanzania. Tulipata nafasi ya kumuuliza maswali matano kuhusu kazi yao na shirika lao, na haya ndio aliyoyasema.